Mtoto wa ajabu azaliwa Tazama Picha Hapa

Wednesday, March 11, 2015

 
Mwanamke mmoja mkazi wa manispaa ya Shinyanga amejifungua mtoto wa ajabu wa kike asiyekuwa na mdomo wala pua huku masikio yake yakiwa shingoni katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

No comments:

Post a Comment